Welcome to the official website of the Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS). Our mission is to coordinate and lead a multisectoral response to HIV and AIDS, ensuring that no individual, family, or c...
Read More
Kaimu Meneja wa Dawati la kuratibu shughuli za UKIMWI kwenye sekta binafsi na za Umma Dkt. Hafidh Ameir akitoa elimu ya matumizi sahihi ya kondom kwa baadhi ya vijana wa kata ya Viwandani Jijini Dodoma ikiwa ni jitihada za kupunguza maambukizi ya VVU kwa vijana
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TACAIDS Dkt. Samwel Sumba akitoa salamu za TACAIDS wakati wa maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani 2025 yaliyofanyika jijini Dar es salaam tarehe 1 Disemba, 2025
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Mhe. William Lukuvi (Mb) akiwa kwenye picha ya pamoja na baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya TACAIDS baada ya kutoa Tamko la Serikali la Siku ya UKIMWI Duniani 2025
Kamati ya Ukaguzi ya Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) wakiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya TACAIDS baada ya kikao cha kamati hiyo kwa robo ya kwanza ya mwaka wa fedha 2025/26
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) Dkt. Samwel Sumba (kulia) akisikiliza maelezo kwenye banda la NSSF alipotembelea Banda la Ofisi ya Waziri Mkuu na Taasisi zake wakati wa maonesho ya Nanenane jijini Dodoma
Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu Dkt. James Kilabuko akipata maelezo alipotembelea banda la TACAIDS lililopo ndani ya banda la Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa maonesho ya 49 ya kimataifa biashara (Sabasaba)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. William Lukuvi (kushoto) akimkabidhi nyaraka muhimu za kufanyia kazi Mwenyekiti wa Bodi ya mfuko wa ATF Bw. Sabasaba Moshingi baada ya kuzindua rasmi Bodi hiyo jijini Dodoma